Habari

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi ametoa shukurani kwa Taasisi ya Ahmad Mohamed Al Falasi kwa misaada waliyoitoa kwa ajili ya wananchi wenye mahitaji maalum.

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi ametoa shukurani kwa Taasisi ya Ahmad Mohamed Al Falasi kwa misaada waliyoitoa kwa ajili ya wananchi wenye mahitaji maalum katika kipindi hichi cha…

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Balozi mpya wa China Nchini Tanzania Ikulu Zanziba leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amepongeza utayari wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China pamoja na Switzerland kuendelea kuiunga mkono Zanzibar…

Soma Zaidi

Rais Dk. Mwinyi ametoa pole kufuatia upepo mkali Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametuma salamu za pole kwa wananchi waliopatwa na maafa kufuatia upepo mkali uliotokea huko katika vijiji vya Kendwa…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema ni lazima Serikali iongeze kasi ya upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi na kuanzisha miradi mipya ya maji safi na salama.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa kwa vile maji ni uhai lazima Serikali iongeze kasi ya upatikanaji wa huduma hiyo kwa wananchi kwa kuendeleza…

Soma Zaidi