Rais wa Zanzibar na MBLM Dk.Ali Mohamed Shein,amemuapisha Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe:Dk. Ali Mohamed Shein amemuapisha Bwana Vuai Mwinyi Mohammed kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja.
Soma Zaidi