Dk Shein awataka Wazanzibar kusubiri Tume ya uundwaji wa Katiba mpya ianzekazi ndipo watoe maoni yao

WAZANZIBARI wametakiwa kusubiri Tume ya Kuratibu na Kukusanya Maoni ya Wananchi kuhusu Mapendekezo ya Uundwaji wa Katiba Mpya ianze kazi ndipo watoe maoni yao kwani hata wakitoa hivi sasa hakuna…

Soma Zaidi

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imejenga Tuta la kuzuiya Maji ya Chumvi yasiingie mashambani

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imechukuwa juhudi ya kuwajengea Tuta la kuzuiya Maji ya Chumvi yasiingie katika Mashamba ya wakulima wa bonde la Ukele, Micheweni Pemba baada ya kuona juhudi za…

Soma Zaidi

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar itaendelea kulinda uhuru wa dini zote

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar itaendelea kulinda uhuru wa dini zote lakini haitavumilia vitendo vyovyote vya uvunjaji wa sheria vinavyofanywa na baadhi ya watu kwa jina la dini huku akisisitiza…

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha

Mhe.Ali Juma Shahuna kuwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali ambapo kabda ya kiapo hicho alikuwa Waziri wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati katika ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa…

Soma Zaidi

Dk.Shein amewaapisha Mawaziri pamoja na Mshauri wa Rais Pemba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amewaapisha Mawaziri kufuatia mabadiliko aliyoyafanya kwa kuwabadilisha Wizara baadhi ya Mawaziri hivi karibuni…

Soma Zaidi

Dk. Shein azindua Mradi wa Elimu wa Karne ya 21 na kusema kuwa utakuwa chachu ya maendeleo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amezinduzi Mradi wa Elimu wa Karne ya 21, unaohusiana na elimu ya teknolojia ya habari na mawasiliano kwa skuli…

Soma Zaidi

Mambo 10 ya Msingi Tunayopaswa Kuyazingatia

Mh. Dk. Ali Mohamed Shein , Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi anasisitiza mambo 10 ya kuzingatiwa nayo ni :- 1. Zanzibar ya amani, utulivu na mshikamano inawezekana. Kwa takriban…

Soma Zaidi