Dk. Hussein Mwinyi ameiomba Serikali ya Jamuhuri ya Watu wa China, kuangalia uwezekano wa kutuma Madaktari Bingwa katika nyanja mbali mbali

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi ameiomba Serikali ya Jamuhuri ya Watu wa China, kuangalia uwezekano wa kutuma Madaktari Bingwa katika nyanja mbali mbali,…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imeanza mchakato wa kuimarisha maslahi ya watendaji katika Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Serikali

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imeanza mchakato wa kuimarisha maslahi ya watendaji katika Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Serikali,…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameishukuru Taasisi ya Iyilik dernegi kutoka nchini Uturuki kwa azma yake ya kuifanya Zanzibar kuwa kituo kikuu cha kuandaa utekelezaji wa miradi yote kwa nchi za Afrika.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameishukuru Taasisi ya Iyilik dernegi kutoka nchini Uturuki kwa azma yake ya kuifanya Zanzibar kuwa kituo kikuu cha…

Soma Zaidi

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Taifa linakabiliwa na changamoto kubwa kwa baadhi ya watumishi wa umma waliopewa dhamana kukosa uadilifu na kusababisha mapato ya Serikali kuingia mifukoni mwao.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Taifa linakabiliwa na changamoto kubwa kwa baadhi ya watumishi wa umma waliopewa dhamana kukosa uadilifu…

Soma Zaidi