Ikulu Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Chakula Duniani Nchini Tanzania Bi.Sarah Gordon-Gibson Ikulu Zanzibar leo.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ametowa Mkono wa Eid Fitry kwa Wananchi katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amelihutubia Baraza La Eid Fitry Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Unguja Jijini Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na waumini wa Dini ya Kiislam katika Sala ya Eid Elfity Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar.

Rais wa Zanzibar ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amepiga kura Shina namba moja Tawi la Kilimani Unguja.