Ikulu Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza vikundi vya mazoezi katika maadhimosho ya kitaifa ya mazoezi ya viungo vya pamoja uwanja wa Amaan Zanzibar.

Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar Suza Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amehudhuria Mahafali ya 17 ya Chuo hicho.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaapisha Wajumbe wapya wa Tume ya Mipango Zanzibar katika Ukumbi wa Ikulu.

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akizungumza na Vijana kwa Njia ya Mtandao wakati wa Mkutano Mkuu Kivuli wa Umoja wa Mataifa katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar,

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza mamia ya Wananchi katika maziko ya aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mpendae Nd.Issa Kassim (Baharia).