Ikulu Blog

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi wa Unguja Ukuu Kae Pwani Masjid Nour katika Sala ya Ijumaa

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Balozi wa ShirikisholLa Jamhuri ya Ujerumani Nchini Tanzania.

Rais wa Zanzibar Mhe.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Kuzungumza na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Mpango Ikulu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amelifungua Kongamano la Uchumi wa Buluu Zanzibar katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar.

Ufunguzi wa Skuli ya Turkish Maarif Zanzibar na Mahfali ya Kwanza.