Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, leo Septemba 30, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Mhe. Tony Charles Blair Ikulu Mjini Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, leo Septemba 30, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Mhe. Tony Charles…

Soma Zaidi

Dk.Hussein Ali Mwinyi ameitaka Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi kuwa na mipango bora ya matumizi ya ardhi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameitaka Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi kuwa na mipango bora ya matumizi ya ardhi itakayobainisha maeneo…

Soma Zaidi

Dk.Mwinyi amesema Mjadala wa Uwekezaji wa ‘Big Breakfast’ ni muhimu sana kwa Taifa kwa Kuzingatia athari za kiuchumi na kijamii zilizojitokeza kutokana na kuwepo kwa janga la Corona Duniani.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Mjadala wa Uwekezaji wa ‘Big Breakfast’ ni muhimu sana kwa Taifa kwa Kuzingatia athari za kiuchumi na…

Soma Zaidi