Dk.Hussein Ali Mwinyi amesisitiza Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kuiimarisha Sera ya Diplomasia ya Uchumi ili Zanzibar iwe na fursa zaidi katika kuimarisha Uchumi wake.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza haja kwa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kuiimarisha Sera ya Diplomasia ya Uchumi…

Soma Zaidi

RAIS wa Zanzibar na MBLM Dk. Hussein Ali Mwinyi ameungana na mamia ya wananchi katika mazishi ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Ramadhan Abdalla Ali “Kichupa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, ameungana na mamia ya wananchi katika mazishi ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa…

Soma Zaidi