Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono Wanafunzi wa Skuli mbali mbali za Zanzibar kama ishara ya kupokea Maandamano yaliyopita mbele yake katika Uwanja wa Mao-Dze Dong katika kilele cha maadhimisho ya

TAMASHA LA 56 LA ELIMU BILA YA MALIPO.

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar Awamu ya Saba katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake imeendeleza dhamira ya kutangazwa kwa elimu bure na kuziendeleza jitihada zilizofanywa na uongozi…

Soma Zaidi

UFUNGUZI WA NYUMBA ZA MAKAAZI “ZSSF MBWENI REAL ESTATE”

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amewataka wanunuzi wa nyumba katika eneo la mradi wa nyumba za makazi Mbweni, kuheshimu sheria za ujenzi wa nyumba…

Soma Zaidi

MKUTANO WA CCM WILAYA YA KASKAZINI A.

WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na wananchi wote wametakiwa kuwapigia kura za ndio wagombea nafasi za uongozi katika chama hicho ili kiendelee kuyatunza Mapinduzi ya Januari 12,…

Soma Zaidi

UFUNGUZI WA JUKWAA LA 11 BIASHARA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeamua kwa makusudi kushirikiana na sekta binafsi kwani sekta hiyo…

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea eneo la Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha Mwani Chamanangwe Wilaya ya Wete Pemba

UZINDUZI WA ENEO LA VIWANDA CHAMANANGWE

SERIKALI ya Awamu ya Saba na ile ijayo imedhamiria kwa makusudi kuimarisha uchumi wa viwanda hapa nchini kwa kutenga eneo la viwanda pamoja na kuanzisha kiwanda cha Mwani huko Chamanangwe Mkoa…

Soma Zaidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  alipokuwa akimuapisha Nd.George Joseph Kazi kuwa Jaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar

DK.SHEIN AMEMUAPISHA JAJI WA MAHAKAMA KUU YA ZANZIBAR

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein leo amemuapisha George Joseph Kazi kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar.

Soma Zaidi

UTEUZI

Kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu Namba 94(2) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984,

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiondoa kipazia kukifungua Kiwanda Kipya cha Kukamulia Majani Makavu ya Mkarafuu Mgelema Wilaya ya Chakechake Pemba

UFUNGUZI WA KIWANDA CHA KUSARIFU MAJANI MAKAVU YA MKARAFUU.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Saba ilifanya juhudi za makusudi katika kulibadilisha zao la karafuu kupitia Shirika…

Soma Zaidi