MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Wanachama wa CCM na Wananhi wa Zanzibar wakati wa hafla ya mapokezi ya Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CCM

MAPOKEZI YA MGOMBEA WA URAIS WA ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein amesema uamuzi wa CCM kumteua Dk. Hussein Ali Hassan…

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na familia ya Marehemu Haji Nassib Haji (Nyanya) alipofika nyumba kwa marehemu bububu.

DK.SHEIN AMETOA MKONO WA POLE.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, ametoa mkono wa pole kwa familia ya Marehemu Mzee Haji Nasibu Haji Nyanya aliyefariki dunia alfajiri ya kuamkia Jumamosi…

Soma Zaidi
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiongoza Kikoa cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakati wa kupitisha jina la Mgombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.

KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA JIJINI DODOMA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein ambaye pia, ni Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar amesema kuwa mchakato wa kumpata mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar…

Soma Zaidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kuashiria ufunguzi wa jengo jipya la Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati katika hafla iliyofanyika katika jengo hilo leo Maisara Mjini Zanzibar.

UZINDUZI WA JENGO LA WIZARA YA ARDHI,NYUMBA,MAJI NA NISHATI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, ameeleza kuwa ujenzi wa majengo bora ya Serikali ni azma iliyoanza mara tu baada ya Mapinduzi matukufu ya Januari…

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akihutubia katika Mkutano wa Baraza la  Tisa la Wawakilishi kabla ya kulivunja rasmi katika ukumbi wa mkutano wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Jijini Zanzibar.

DK. SHEIN AMELIVUNJA BARAZA LA TISA LA WAWAKILISHI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hali ya amani na utulivu iliopo nchini inaendelea kudumu kabla na baada ya…

Soma Zaidi

UTEUZI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa wenyeviti wa Bodi katika Taasisi mbalimbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo:-

Soma Zaidi

UTEUZI

Soma Zaidi

UTEUZI

Kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu cha 61(2) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

Soma Zaidi