RAIS wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa Angola Nchini Tanzania Mhe.Sandro Agostinho De Oliveira

DK.SHEIN AMEZUNGUMZA NA BALOZI WA ANGOLA NCHINI TANZANIA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameupongeza uwamuzi wa busara na wenye tija wa Angola wa kutaka kushirikiana na Zanzibar kwenye sekta ya utalii hatua…

Soma Zaidi

UTEUZI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo:

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Katibu wa Kamati ya Uhamasishaji na Halaiki Zanzibar.

CHAKULA MAALUM KWA VIJANA WA HALAIKI NA WAHAMASISHAJI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein ameungana pamoja na Vijana wa Halaiki na wahamasishaji walioshiriki katika maadhimisho ya sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi…

Soma Zaidi

DK.SHEIN AMETUMA SALAMU ZA PONGEZI KWA SIKU YA JAMHURI YA INDIA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, amemtumia salamu za pongezi Rais wa Jamhuri ya India Shri Ram Nath Kovind kwa kuadhimisha siku ya Jamhuri ya Taifa…

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa amersimama na viongozi wa meza wakati ukipingwa wimbo wa Taifa alipowasili katika viwanja vya Polisi Ziwani Zanzibar

CHAKULA MAALUM KILICHOANDALIWA KWA ASKARI WALIOSHIRIKI GWARIDE LA MAADHIMISHO YA MAPINDUZI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameungana pamoja na Wapiganaji wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama walioshiriki katika Maadhimisho ya sherehe za kutimiza…

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza vla Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasalimia Wananchi wakati wa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.

MIAKA 56 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema Serikali itaendelea kutekeleza wajibu wake wa Kikatiba na kisheria katika kulinda amani, utulivu na maisha…

Soma Zaidi

DK.SHEIN AMETOA MSAMAHA KWA WANAFUNZI WA VYUO VYA MAFUNZO.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ametoa msamaha kwa wanafunzi kumi na tisa (19) ambao bado walikuwa wakiendelea kutumikia vyuo vya Mafunzo vya Unguja…

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akipokea Maandamano na Maonesho ya Amsha Amsha na Mapinduzi yalioandaliwa na Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya SMT na SMZ, katika viwanja vya Mnazi Mmoja

AMSHA AMSHA YA VIKOSI VYA ULINZI NA USALAMA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema jukumu la kudumisha amani na usalama wa nchi ni la wananchi wote na sio la vyombo vya ulinzi na Usalama pekee.

Soma Zaidi