DK.SHEIN AMEFUNGUA MAJENGO YA SKULI TISA ZA SEKONDARI UNGUJA NA PEMBA.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema Zanzibar imepata mafanikio makubwa katika sekta ya elimu, kutokana na misingi bora iliyowekwa na muasisi wa…
Soma Zaidi