DK.SHEIN AMEKUTANA NA KATIBU MKUU WA KAMATI KUU YA CHAMA CHA KIKOMINISTI CHA CHINA.

JAMHURI ya Watu wa China imepongezwa kwa kuendeleza utamaduni wake wa kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha sekta za maendeleo kwa kuleta wataalamu kutoka nchini humo kuja kutoa mafunzo hapa…

Soma Zaidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata Utepe wa Vitabu vya Mpango kama ishara ya Uzinduzi rasmi wa mpango shirikishi wa kutokomeza Kipindupindu Zanzibar katika hafla iliyofanyika katika  ukumbi wa Idris Abdulwak

UZINDUZI MPANGO SHIKIRISHI WA KUTOKOMEZA KIPINDUPINDU ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, alisema serikali ina wajibu wa kuwatunza na kusimamia Afya za wananchi, kwa kuhakikisha wanaondokana na maradhi mbali…

Soma Zaidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hutuba yake  wakati alipokuwa akiwapongeza Wanafunzi  waliofaulu Mitihani ya Taifa ya kidato cha Nne na Sita pamoja kuwaalika chakula cha mchana katika hafla iliyofanyika le

DK.SHEIN AMEWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFAULU MITIHANI YA TAIFA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ametangaza kuongeza nafasi 60 badala ya 30 alizozitoa mwaka jana za udhamini wa masomo kwa wanafunzi bora wa Kidato…

Soma Zaidi

Dk.Shein amezungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba.

JAMHURI ya Watu wa Cuba imepongezwa kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha sekta ya afya na kuelezwa haja ya kutoa nafasi za masomo ya Udaktari Bingwa kwa Madaktari wa Zanzibar.

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hutuba yake katika   ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania-UTPC uliofanyika leo katika ukumbi wa Idris AbdulWakil,Vuga M

MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WA MUUNGANO WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA -UTPC.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amewataka waandishi wa habari nchini, kuondokana na utamaduni wa kufanya kazi kwa mazoweya, kwani sio sifa ya uandishi…

Soma Zaidi

DK.SHEIN AMEKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA NCHI, OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesisitiza dhamira ya Serikali katika kulipa kipaumbele suala la kufanya utafiti, kuwa inalenga kuzitafutia majibu…

Soma Zaidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Rais wa Chama Cha Madaktari Tanzania Dr.Elisha Osati  wakati wa mapokezi alipowasili katika ufunguzi wa Kongamano la 10 na Mkutano Mkuu wa Chama cha Wapatholojia (A

KONGAMANO LA 10 LA KISAYANSI NA MKUTANO MKUU WA WAPATHOLOJIA.

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeamua kuwekeza kwa nguvu zake zote katika kuiendeleza fani ya patholojia kwa ajili ya maendeleo ya afya hapa nchini hasa ikitambua kwamba afya ndio mtaji wa…

Soma Zaidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ katika mkutano wa utekelezaji  wa  mpango kazi wa Mwaka wa Fedha kwa

UONGOZI WA WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA,SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUM ZA SMZ.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameutaka uongozi wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kuongoza kwa kufuata sheria,…

Soma Zaidi