Dk.Shein amezungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba.
JAMHURI ya Watu wa Cuba imepongezwa kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha sekta ya afya na kuelezwa haja ya kutoa nafasi za masomo ya Udaktari Bingwa kwa Madaktari wa Zanzibar.
Soma Zaidi