Dk.Shein amesisitiza Wizara ya Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi kuongeza kasi katika kufanya Utafiti

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesisitiza haja kwa Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kuongeza kasi katika kufanya utafiti kwani sekta…

Soma Zaidi

Dk.Shein amefungua Hoteli ya Kisasa ya Utalii Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuwa kujengwa kwa hoteli ya kisasa ya Madinat El Bahr ni hatua kubwa ya mafanikio katika mipango ya maendeleo…

Soma Zaidi

DK.SHEIN AMEKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA HABARI,UTALII NA MAMBO YA KALE.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein emesema kuwa dhamira ya Serikali ya kununua Mtambo mpya wa uchapaji wa magazeti ni kuhakikisha kiwango cha uchapishaji…

Soma Zaidi

DK.SHEIN AMEKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA ARDHI,NYUMBA,MAJI NA NISHATI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, amesisitiza haja kwa uongozi wa Wizara ya Ardhi, Maji na Nishati kuvitumia vyombo vya habari kuyatangaza mafanikio…

Soma Zaidi

DK.SHEIN AMEZINDUA JUMUIYA YA WASTAAFU NA WAZEE ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Braaza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein ameitaka jamii kuzingatia umuhimu wa kuwaheshuimu na kuwatendea wema wazee, kwa kutambuwa kuwa ni misingi muhimu ya…

Soma Zaidi

Umoja wa Mataifa (UN) umeahidi kuendelea kuiunga mkono Zanzibar.

UMOJA wa Mataifa (UN) umeahidi kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuhakikisha miradi yote ya maendeleo inayosimamiwa na Mashirikia yake inatekelezwa kikamilifu na kupata mafanikio kwa azma…

Soma Zaidi

DK. SHEIN AMEMUAPISHA NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo amemuapisha Khadija Khamis Rajab kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Biashara na Viwanda.

Soma Zaidi