DK. SHEIN AMEFUNGUA MAONESHO YA KILIMO KIZIMBANI ZANZIBAR.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Awamu ya Saba ina dhamiria kuendeleza sekta ya kilimo kwa gharama yoyote…
Soma Zaidi