UTEUZI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika taasisi mbalimbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifutavyo:-

Soma Zaidi

Dk.Shein ameupongeza uongozi wa Makampuni ya Okan yenye Makao Makuu yake nchini Uturuki.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameipongeza azma ya uongozi wa Makampuni ya Okan yenye makao makuu yake nchini Uturuki inayokusudia kujenga hospitali…

Soma Zaidi

Dk.Shein amewataka waumini wa Dini ya Kiislamu nchini kuendeleza upendo na mshikamano katika Dini

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Ali Mohammed Shein amewataka waumini wa Dini ya Kiislamu nchini kuendeleza upendo na mshikamano, ili kuimarisha dini hiyo pamoja na kupata…

Soma Zaidi

DK.SHEIN AMEPONGEZWA KWA UPATIKANAJI WA MAJI RAMADHANI.

WANANCHI wanaoishi katika maeneo yenye shida ya maji Zanzibar wamempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein kwa kutekelezwa vyema agizo alilolitoa kwa…

Soma Zaidi
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akiwa katika futari aliyowaandalia Watoto wa Nyumba ya Serikali ya Watoto Yatima Mazizini Zanzibar.

MAMA MWANAMWEMA SHEIN AMEJUMUIKA NA WATOTO WA NYUMBA YA WATOTO YATIMA MAZIZINI.

WAZIRI wa Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto Moudline Castico ameipongeza jamii ya Wazanzibar kwa juhudi inazozichukuwa katika utunzaji wa familia, na hivyo kupunguza tatizo la utupaji…

Soma Zaidi
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akijumuika na Watoto wa Kijiji cha SOS Mombasa Zanzibar , katika Futari Maalum aliyowaandalia katika makazi yao.

MKE WA RAIS WA ZANZIBAR MAMA MWANAMWEMA SHEIN AMEJUMUIKA NA WATOTO WA KIJIJI CHA SOS KATIKA FUTARI.

WAZANZIBARI wametakiwa kuthamini na kuunga mkono juhudi za Serikali katika kusimamia na kudumisha amani na utulivu uliopo nchini, hatua inayotowa fursa kwa waumini kuweza kuabudu bila taabu.

Soma Zaidi