MIKAKATI MAALUM INAHITAJIKA ILI KUUENDELEZA MJI WA ZANZIBAR KUWA SAFI.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein,ameeleza haja kwa Baraza la Manispaa Mjini kuweka mikakati maalum katika kuendelea kuuweka Mji wa Zanzibar kuwa safi…
Soma Zaidi