Dk.Shein amewanasihi wafanyabiashara kuwa waadilifu na kuwafanyia wanunuzi tahafifu za bei.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein amewanasihi wafanyabiashara kuwa waadilifu katika kuwafanyia wanunuzi tahafifu za bei za bidhaa na huduma nyenginezo…
Soma Zaidi