Dk.Shein akabithiwa mipira

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amekabidhiwa mipira na Kamati ya Ugawaji Mipira chini ya mradi wa ‘One World Football For Africa’ na kusisitiza…

Soma Zaidi

Serikali ya Oman imeahidi kuiunga mkono Serikali ya Zanzibar katika sekta ya Elimu

SERIKALI ya Oman imeeleza azma yake ya kuendelea kuinga mkono Zanzibar katika kuimarisha sekta ya elimu kwa kuanzia na elimu ya juu kupitia Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA).Waziri wa Elimu ya Juu…

Soma Zaidi

Maafisa na Maaskari wa vikosi vya ulinzi wameshiriki katika chakula cha mchana

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameungana na maafisa na askari wa vikosi vya Ulinzi na Usalama wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali…

Soma Zaidi

Kilele cha Maadhimisho ya wiki ya uwezeshaji kiuchumi Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia…

Soma Zaidi

Marekani imevutiwa na mafanikio yaliopatikana katika miradi inayoiendesha hapa Zanziba

Marekani imeeleza kuvutiwa kwake na mafanikio yaliopatikana katika miradi inayoiendesha hapa Zanzibar na kuahidi kuunga mkono miradi mengine ikiwemo miradi mipya ya Changamoto ya Milenia (MCC)…

Soma Zaidi

Dk.Shein amefunga mkutano wa saba wa Baraza la Biashara Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amefunga mkutano wa saba wa Baraza la Biashara Zanzibar (ZBC) na kusisitiza kuwa ipo haja ya kuungwa mkono kwa sekta…

Soma Zaidi

Serikali inaendelea kujenga mazingira mazuri kuvifufua na kuvikuza viwanda vidogo vidogo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Serikali inaendelea kujenga mazingira mazuri yatakayopelekea kuvifufua na kuvikuza viwanda hasa viwanda…

Soma Zaidi

Dk.Shein ahuzuria taarabu rasmin Bwawani

Kikundi cha Taifa cha Taarab cha Zanzibar kilitia fora kwa kutoa burdani ya aina yake ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za sherehe za kutimiza miaka 49.; ya Mapinduzi ya Zanzibar, kutokana na…

Soma Zaidi