Rais wa Zanzibar na MBLM Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,amewaapisha viongozi na watendaji wa SMZ
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein leo amewaapisha viongozi na watendaji katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kufuatia uteuzi alioufanya hivi karibuni.
Soma Zaidi