SWEDEN imeahidi kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha sekta mbali mbali za maendeleo

Pamoja na kuwa balozi wa kuitangaza Zanzibar kiutalii kutokana na mafanikio makubwa iliyoyapata katika sekta hiyo. Dk. Shein aliyasema hayo wakati alipokuwa na mazungumzo na Balozi wa Sweden…

Soma Zaidi

Taarifa kuhusu hali ya nchi kwa Waandishi wa HabariI,Wahariri na WananchiI,

Ndugu Waandishi wa Habari, Wahariri na Wananchi, Assalam Aleykum Namshukuru Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu wote, kwa kutupa afya njema tukaweza kuzungumzia mambo yenye mustakbal mwema wa…

Soma Zaidi

Zanzibar imeongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato na kufikia kiwango cha asilimia 20 ya pato la Taifa

OFISI ya Rais Fedha, Uchumi na Mipango ya Maendeleo imeeleza vipaumbele ilivyojiwekea kwa mwaka ujao wa fedha ikiwa ni pamoja na kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato na kufikia kiwango cha asilimia…

Soma Zaidi

Dk.Shein ataka juhudi za haraka zichukuliwe kwa Shirika la ZBC (Television) kisiwani Pemba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein ameiagiza Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo kutoa taarifa kwa wananchi wa kisiwa cha Pemba juu ya…

Soma Zaidi

Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Tunguu umekamilika kwa asilimia 90 (90%)

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imeeleza kuwa ujenzi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Tunguu umekamilika kwa asilimia 90 ambapo Mkandarasi ameahidi kukamilisha kazi yote na kukabidhi…

Soma Zaidi

Dk.Shein ametangaza huduma za kujifungua katika hospitali za umma Unguja na Pemba zifanyike bure.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, ametangaza kuwa huduma za uzazi kwa akina mama wajawazito wanaokwenda kujifungua katika hospitali za umma Unguja na…

Soma Zaidi

Dk Shein awataka Wazanzibar kusubiri Tume ya uundwaji wa Katiba mpya ianzekazi ndipo watoe maoni yao

WAZANZIBARI wametakiwa kusubiri Tume ya Kuratibu na Kukusanya Maoni ya Wananchi kuhusu Mapendekezo ya Uundwaji wa Katiba Mpya ianze kazi ndipo watoe maoni yao kwani hata wakitoa hivi sasa hakuna…

Soma Zaidi

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imejenga Tuta la kuzuiya Maji ya Chumvi yasiingie mashambani

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imechukuwa juhudi ya kuwajengea Tuta la kuzuiya Maji ya Chumvi yasiingie katika Mashamba ya wakulima wa bonde la Ukele, Micheweni Pemba baada ya kuona juhudi za…

Soma Zaidi