Habari

Dk. Hussein Ali Mwinyi amehudhuria kikao cha Kamati Kuu (CCM) ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi.

KIKAO cha Kamati Kuu (CC) ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimefanyika leo kikiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais…

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar na MBLM Dk.Hussein Ali Mwinyi amehudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, kilichoendeshwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amehudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, kilichoendeshwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Soma Zaidi

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaunga mkono azma ya Bohari ya Dawa (MSD) ya kutaka kujenga kiwanda cha dawa hapa Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaunga mkono azma ya Bohari ya Dawa (MSD) ya kutaka kujenga kiwanda…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema wakati umefika kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanyakazi kwa karibu na wananchi, ili waweze kutambua umuhimu…

Soma Zaidi