Dk.Hussein Mwinyi ametia saini kitabu cha maombolezi ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dk. John Joseph Pombe Magufuli

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametia saini kitabu cha maombolezi ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dk. John Joseph…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameikaribisha Jumuiya ya ‘Khoja Shia Ithna Ashir Jamaats of African

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameikaribisha Jumuiya ya ‘Khoja Shia Ithna Ashir Jamaats of African’ na kuitaka kuzitumia vyema fursa za uwekezaji…

Soma Zaidi

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetiliana saini Hati ya Maelewano (MOU) na Mamlaka ya Uwekezaji ya Oman

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imetiliana saini Hati ya Maelewano (MOU),kati yake na Mamlaka ya Uwekezaji ya Oman inayohusu Mpango Mkuu wa Ujenzi wa Bandari huko Mangapwani/Bumbwini.Kwa mujibu…

Soma Zaidi

Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Nane itakuja na ubunifu wa kutatua changamoto katika sekta ya elimu Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Nane itakuja na ubunifu wa kutatua changamoto katika sekta ya elimu ikiwa ni pamoja…

Soma Zaidi