RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika futari aliyowaandalia katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA)kushoto Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. H

Dk.Shein amewataka waumini wa Dini ya Kiislam kuzidisha ibada na upendo katika mwezi wa Ramadhani

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein amefutari pamoja na wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja na kuwataka waumini wa dini ya Kiislamu kuzidisha ibada…

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, katika mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi, kwa kipindi cha mwezi Julai 2018 ha

DK.SHEIN AMEZUNGUMZA NA UONGOZI WA OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein,ameupongeza uongozi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa kuendelea kuonesha taswira njema katika…

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akijiandaa kuanza Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi,wa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.

MIKAKATI MAALUM INAHITAJIKA ILI KUUENDELEZA MJI WA ZANZIBAR KUWA SAFI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein,ameeleza haja kwa Baraza la Manispaa Mjini kuweka mikakati maalum katika kuendelea kuuweka Mji wa Zanzibar kuwa safi…

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza wakati wa Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Vijana Michezo Utamaduni na Sanaa Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.

DK.SHEIN AMEZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA VIJANA,UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuwa ni jambo baya sana na halikubaliki katika jamii kwa wasanii kuibiwa kazi zao na wajanja wachache ambao…

Soma Zaidi
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Vuai Mwinyi akitowa shukrani kwa Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini baada ya kumalizika hafla ya Futari ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, katika ukumbi wa Chuo

MKOA WA KASKAZINI UNGUJA UMEMPONGEZA DK. SHEIN

WANANCHI wa Mkoa wa Kaskazini Unguja waeleza kuridhishwa na juhudi za Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika kuwapelekea maendeleo endelevu ikiwemo…

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzui Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akiongoza Kikao cha Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar kwa mwezi Julai 2018 hadi March 2019, uliofanyika ukumbi wa

DK.SHEIN AMEZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA KILIMO,MALIASILI,MIFUGO NA UVUVI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shen ameutaka uongozi wa Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kuwaangalia kwa karibu wafanyabiashara wanaokausha…

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Wafanyakani wa Benki ya Watu wa Zanzibar na Wananchi katika futari ilioandaliwa na PBZ, katika hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.

WAFANYABIASHARA WAMEENDELEA KUSISITIZWA JUU YA BEI KWA BIDHAA ZAO.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein ameendelea kuwasisitiza wafanyabiashara kutowauzia wananchi bidhaa kwa bei ya juu katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani…

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu Ali Juma Shamuhuna wakati wa maziko hayo yaliofanyika katika Kijiji cha Imiyani Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja.

DK.SHEIN AMEONGOZA WANANCHI KATIKA MAZISHI YA MAREHEMU ALI JUMA SHAMUHUNA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein ameongoza mamia ya wananchi katika mazishi ya Marehemu Ali Juma Shamuhuna yaliyofanyika kijijini kwao Donge Eneani,…

Soma Zaidi