Dk.Shein atoa msamaha kwa wafungwa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, ametoa msamaha kwa wafungwa (Wanafunzi wa Chuo cha Mafunzo) 16 ikiwa ni miongoni mwa sherehe za kutimiza miaka…

Soma Zaidi

Malengo ya Mapinduzi ya Jan.12,1964 ni kuhakikisha elimu inatolewa kwa wenye uwezo na wasio na uwezo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa miongoni mwa malengo ya Mapinduzi ya Januari 12, 1964 ni kuhakikisha kuwa elimu inayotolewa hapa Zanzibar…

Soma Zaidi

Dk.Shein hatokuwa tayari kuona Serikali anayoiongoza ikonyuma katika tasnia ya habari na mawasiliano

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuwa hatokuwa tayari kuona serikali anayoiongoza iko nyuma katika tasnia ya habari na mawasiliano.Dk. Shein…

Soma Zaidi

Lengo la Serikali ya SMZ ni kuhakikisha kila mtoto aliyefikia umri wakusoma anapata nafasi ya kusoma

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa lengo la Serikali anayoiongoza ni kuhakikisha kuwa kila mtoto aliyefikia umri wa kusoma anapata nafasi…

Soma Zaidi

Uimarishaji huduma za afya uendane na upatikanaji wa dawa ambazo zimetunzwa kwenye mazingira mazuri

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amezindua Bohari ya Dawa na kueleza kuwa uimarishaji wa huduma za afya lazima uendane na upatikanaji wa dawa ambazo…

Soma Zaidi

Dhamira ya SMZ ni kuona kila mfanyakazi wa Serikali anaendeleza shabaha ya Mapinduzi ya Zanzibar.

DHAMIRA ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar awamu ya saba kama ilivyokuwa kwa awamu zilizotangulia ni kuona kila mfanyakazi anaendeleza shabaha ya Mapinduzi na kunufaika na matunda yake ikiwa…

Soma Zaidi

Mahafali ya nane Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA)

RAIS wa Zanzibar na Mwenekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ametoa wito kwa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA),kuendelea kutoa mafunzo mbali mbali kwa kuzingatia mahitaji…

Soma Zaidi

Waekezaji wa Belgium wametakiwa kuja kuekeza Zanzibar hasa katika sekta ya utalii

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amefanya mazungumzo na Balozi wa Belgium nchini Tanzania Mhe. Adam Koenraad na kumueleza jinsi Serikali inavyoimarisha…

Soma Zaidi