Wafanyabiashara naWenyeviwanda nchini Vietnam wametakiwa kushirikiana naZanzibar katika sekta husika

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein ametoa wito kwa Jumuiya ya Wafanyabiashara na Wenyeviwanda nchini Vietnam kushirikiana na Zanzibar katika sekta…

Soma Zaidi

Dk.Shein ametembelea Taasisi ya Utafiti wa Ufugaji wa Samaki mjini Hanoi,

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein ametembelea Taasisi ya Utafiti wa Ufugaji wa Samaki mjini Hanoi, Vietnam na kueleza kuwa Serikali ya Mapinduzi…

Soma Zaidi

Zanzibar na Vietinam zimetakiwa kuanzisha uhusiano na ushirikiano katika sekta ya afya

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein ameeleza haja ya kuanzishwa uhusiano na ushirikiano kati ya sekta ya afya ya Zanzibar na hospitali ya Taifa ya Watoto ya Vietnam katika maeneo ya…

Soma Zaidi

Dk.Shein amefanya mazungumzo na Rais wa Vietnam Mhe.  Truong Tan Sang

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amefanya mazungumzo na Rais wa Vietnam Mhe. Truong Tan Sang ambapo kiongozi huyo wa Vietnam alieleza kuwa ziara…

Soma Zaidi

Zanzibar na Vietnam zimekubaliana kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa kukuza sekta za maendeleo.

ZANZIBAR na Vietnam zimekubaliana kuimarisha uhusiano na ushirikiano katika kukuza sekta za maendeleo na uchumi huku Vietnam ikiahidi kuiunga mkono Zanzibar katika kuhakikisha inafikia malengo…

Soma Zaidi

Dk.Ali Mohamed Shein ameondoka nchini kuelekea nchini Vietnam kwa ziara ya Kiserikali

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein ameondoka nchini kuelekea nchini Vietnam kwa ziara ya Kiserikali kufuatia mualiko rasmi wa Kiongozi wa nchi hiyo.Katika…

Soma Zaidi

Mafanikio yatapatikana kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki iwapo zitatumia vyema rasilimali zao

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuwa mafanikio makubwa yanaweza kupatikana katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki iwapo zitatumia vyema…

Soma Zaidi

Dk.Shein ametuma salamu za pongezi kufuatia ushindi wa Rais Barack Obama wa Marekani

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein ametuma salamu za pongezi kufuatia ushindi wa Rais Barack Obama wa Marekani katika Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo…

Soma Zaidi