Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wananchi kuwa wavumilivu na kustahimili changamoto mbali mbali zitakazojitokeza wakati mradi mkubwa wa ujenzi wa Barabra za Mjini utakapoanza

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wananchi kuwa wavumilivu na kustahimili changamoto mbali mbali zitakazojitokeza wakati mradi mkubwa wa ujenzi…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wanachama wa CCM kuchagua viongozi makini watakaoweza kukivusha Chama hicho katika Uchaguzi mkuu ujao wa 2025.

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wanachama wa CCM kuchagua viongozi makini…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaapisha viongozi na watendaji mbali mbali wa Serikali kushika nyadhifa zao kufuatia uteuzi aliofanya hivi karibuni.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaapisha viongozi na watendaji mbali mbali wa Serikali kushika nyadhifa zao kufuatia uteuzi aliofanya hivi karibuni.Katika…

Read More