Habari

Dk.Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba utayari wa Uholanzi kuunga mkono mikakati pamoja na Sera ya uchumi wa Buluu kutasaidia kwa kiasi kikubwa kufikia malengo yaliyowekwa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba utayari wa Uholanzi kuunga mkono mikakati pamoja na Sera ya uchumi wa Buluu kutasaidia kwa kiasi kikubwa…

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi leo amewaapisha viongozi mbali mbali aliowateua hivi karibuni

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi leo amewaapisha viongozi mbali mbali aliowateua hivi karibuni wakiwemo Mawaziri, Manaibu Mawaziri pamoja na Makamishna.

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Zanzibar inathamini na kuhitaji sana mchango wa vyombo vya habari katika kufanikisha utekelezaji wa mipango yake mikuu ya maendeleo.

Zanzibar inathamini na kuhitaji sana mchango wa vyombo vya habari katika kufanikisha utekelezaji wa mipango yake mikuu ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa uchumi wa kisasa unaotilia mkazo matumizi…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba Zanzibar itaendeleza uhusiano na ushirikiano kati yake na Oman

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba Zanzibar itaendeleza uhusiano na ushirikiano kati yake na Oman na kuishauri nchi hiyo kuunga mkono…

Soma Zaidi

Dk.Hussein Ali Mwinyi amesisitiza haja ya kupewa kipaumbele suala zima la usafi wa Mji wa Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesisitiza haja ya kupewa kipaumbele suala zima la usafi wa Mji wa Zanzibar kwani bado hajaridhika na hali ya usafi…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amezifariji familia ya Rubani Adil Sultan Khamis na Rubani Ashraf Abdalla Juma Mabodi kufuatia ajali ya ndege iliyotokea hivi karibuni huko Comoro.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amezifariji familia ya Rubani Adil Sultan Khamis na Rubani Ashraf Abdalla Juma Mabodi kufuatia ajali ya ndege iliyotokea…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kutoa ushirikiano ili kujenga mazingira mazuri ikwa Benki ya Biashara ya Tanzania (TCB) iendelee kutoa huduma kwa wananchi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kutoa ushirikiano unaohitajika na kujenga mazingira mazuri…

Soma Zaidi