Habari

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka walioajiriwa kufanya kazi ipasavyo na kinyume yake watakuwa wanafanya dhulma

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba kazi ni ibada hivyo amewataka wale wote walioajiriwa kufanya kazi watekeleze jukumu hilo ipasavyo…

Soma Zaidi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amelihutubia Bunge.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amelihutubia Bunge na kutumia hotuba yake ya Bunge kutuma kile alichokiita ni onyo kwa watu wanaofanya ubadhirifu wa mali za umma na…

Soma Zaidi

Dk.Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi katika Vikosi Maalum vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi katika Vikosi Maalum vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Tume ya Uratibu na Udhibiti wa Dawa za…

Soma Zaidi

Mama Mariam Mwinyi amesema Dini ya Uislamu amehimiza kuwatunza wazee kwa kuwafanyia wema na ihsani katika maisha yao yote.

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi amesema kuwa katika Dini ya Uislamu Mwenyezi Mungu amehimiza kuwatunza wazee kwa kuwafanyia wema na ihsani katika maisha yao yote.Mama Mariam Mwinyi…

Soma Zaidi