Habari

Dk.Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kwa kuimarisha amani na kuilinda mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kwa kuendelea na kazi kubwa ya kuimarisha amani na kuilinda…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Mwinyi amewataka Makatibu Wakuu wapya kutekeleza majumuku ipasavyo pamoja na kuzisimamia fedha za Serikali

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewata Makatibu Wakuu wapya kutekeleza majumuku yao ipasavyo ikiwa ni pamoja na kuzisimamia fedha za serikali na…

Soma Zaidi

Dk.Hussein Mwinyi amesema Zanzibar imeamua kujiimarisha katika sekta ya biashara na uwekezaji

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kwamba Zanzibar imeamua kujiimarisha katika sekta ya biashara na uwekezaji hivyo Mabalozi wa Jamhuri ya Muungano…

Soma Zaidi