Dk. Hussein Ali Mwinyi amemuhakikishia Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo kuwa ataendelea kushirikiana nae katika kuhakikisha Ilani ya Uchaguzi ya CCM inatekelezwa ipasavyo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amemuhakikishia Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo kuwa ataendelea kushirikiana nae katika kuhakikisha…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahakikishia wananchi wa Shehiya ya Kiongwe kuwa Barabara ya Bumbwini - Kiongwe, itajengwa kwa kiwango cha lami

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahakikishia wananchi wa Shehiya ya Kiongwe kuwa Barabara ya Bumbwini - Kiongwe, itajengwa kwa kiwango cha lami…

Soma Zaidi

Dk.Hussein Ali Mwinyi,amesema Serikali inatambua kuwepo kwa mgogoro wa ardhi unaowahusisha wananchi wa shehiya ya Ubago dhidi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania,kambi ya Ubago.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inatambua kuwepo kwa mgogoro wa ardhi unaowahusisha wananchi wa shehiya ya Ubago dhidi ya Jeshi…

Soma Zaidi

Dk.Hussein Ali Mwinyi ameutaka Uongozi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) kuhakikisha inavipatia maji safi na salama Vitongoji sita vilivyomo katika Shehiya za Muungoni na Kitogani.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameutaka Uongozi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) kuhakikisha inavipatia maji safi na salama Vitongoji sita vilivyomo…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi Jumamosi (Julai 03,2021) anatarajia kuanza ziara ya kikazi ya wiki moja katika mikoa mitatu ya Unguja.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi kesho Jumamosi (Julai 03,2021) anatarajia kuanza ziara ya kikazi ya wiki moja katika mikoa mitatu ya Unguja.

Soma Zaidi