Media

Dk.Mwinyi amesema ufunguzi wa madarasa katika skuli ya msingi Sebleni,ni kielelezo cha dhamira ya Serikali katika kukabiliana na changamoto ya miundombinu inayozikabili skuli mbali mbali nchini.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema ufunguzi wa madarasa katika Skuli ya msingi Sebleni,ni kielelezo cha dhamira ya Serikali katika kukabiliana…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa pongezi kwa Wawekezaji waliowekeza katika maeneo mbali mbali nchini

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa pongezi kwa Wawekezaji waliowekeza katika maeneo mbali mbali nchini, kwa kuwa na ushirikiano wa karibu na jamii…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka Mabalozi wa Tanzania walioteuliwa hivi karibuni kuipa kipaumbele Sera ya Diplomasia ya Uchumi katika nchi wanazokwenda kufanya kazi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza haja kwa Mabalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nje ya nchi walioteuliwa hivi karibuni kuipa kipaumbele…

Read More

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameshiriki mazishi ya Marehemu Bi Safia Abeid

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi leo ameshiriki mazishi ya Marehemu Bi Safia Abeid,mama mzazi wa Makamo wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano…

Read More