Habari

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Awamu ya Nane itaendelea kuwaenzi na kuwatunza wazee wa nyumba za Sebleni na Welezo

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Awamu ya Nane itaendelea kuwaenzi na kuwatunza wazee wa nyumba za Sebleni na Welezo pamoja na watoto…

Soma Zaidi

Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Waziri wa Uingereza anaeshughulikia masuala ya Afrika James Duddridge.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Waziri wa Uingereza anaeshughulikia masuala ya Afrika James Duddridge na kumueleza hatua zinazochukuliwa…

Soma Zaidi

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuifuatilia kwa karibu Mfuko wa Maendeleo ya jamii Tasaf na Mkurabita.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kwamba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuifuatilia kwa karibu mipango ya Mfuko wa Maendeleo ya…

Soma Zaidi

JAMHURI ya Muungano wa Tanzania, ikiwemo Zanzibar,imekuwa ikifanya kazi na mataifa mbali mbali duniani katika kudumisha amani na usalama wa maendeleo

JAMHURI ya Muungano wa Tanzania, ikiwemo Zanzibar,imekuwa ikifanya kazi na mataifa mbali mbali duniani katika kudumisha amani pamoja na kutafuta suluhu ya migogoro kadhaa na kuimarisha usalama…

Soma Zaidi