Dk.Hussein Mwinyi alikuwa mgeni rasmi katika taarab maalum iliyoandaliwa na Wabunge Wawakilishi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi jana usiku alikuwa mgeni rasmi katika taarab maalum iliyoandaliwa na Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja…

Soma Zaidi

Wafanyabiashara wa sekta binafsi nchini wameiomba Serikali kuongeza ushirikiano katika sekta hizo.

WAFANYABIASHARA na wadau mbali mbali kutoka sekta binafsi nchini wameiomba Serikali kuongeza ushirikiano na sekta hizo kwa msingi kuwa zina mchango mkubwa katika uimarishaji wa uchumi wa Zanzibar.Hayo…

Soma Zaidi

Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaomba Waislamu kuendelea kumuunga mkono na kumuombea dua.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaomba Waislamu kuendelea kumuunga mkono na kumuombea dua ili Mwenyezi Mungu amsaidie kwa yale yote ambayo…

Soma Zaidi

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Awamu ya Nane kushirikiana na Benki ya Taifa ya Biashara

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Hussein Ali Mwinyi ameupongeza utayari wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar…

Soma Zaidi

Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezoimetakiwa kuweka utaratibu maalum kudhamini michezo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameitaka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuhakikisha Vyama vya Michezo vinakuwa na utaratibu maalum…

Soma Zaidi

Dk.Mwinyi amelihaidi shirika la UNICEF kua Serikali Mapinduzi ya Zanzibar itaendeleza mashirikiano

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameliahidi Shirika la Umoja wa Mataifa linalowahudumia Watoto duniani (UNICEF) kwamba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar…

Soma Zaidi

Uteuzi

Kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu Namba 61(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi amefanya…

Soma Zaidi

Dk.Mwinyi ameihakikishia Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ushirikiano wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanziba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Hussein Ali Mwinyi ameihakikishia Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ushirikiano wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Awamu ya Nane…

Soma Zaidi