Habari

Dk.Shein akutana na Uongozi wa Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais

OFISI ya Makamu wa Pili wa Rais imeeleza kuwa Dira yake kubwa ni kuwa na Serikali yenye kutoa huduma bora kwa jamii na yenye muhimili mzuri wa uchumi, umoja na maendeleo endelevu

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein azindua sensa ya miti

WIZARA ya Kilimo na Maliasili na Wizara ya Mawasiliano na Miundombinu,Baraza la Mainispaa Zanzibar, Mabaraza ya miji Pemba na Hamlashauri zote za Wilaya zimetakiwa kushirikiana katika kuimarisha…

Soma Zaidi

Rais azungumza na Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais

OFISI ya Makamu wa Kwanza wa Rais imemuahidi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein kuwa itashirikiana nae katika kusimamia majukumu yake kwa uadilifu na…

Soma Zaidi

Wananchi waanza kufuga mazao ya baharini kwenye maeneo yao wanayoishi

Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeeleza kuwa sekta ya uvuvi hivi sasa imezidi kuimarika baada ya wananchi wengi kushajiika na kuanza kufuga mazao ya baharini kwenye maeneo yao wanayoishi.Aidha, Wizara…

Soma Zaidi

Waekezaji wa Ireland wametakiwa kuja kuekeza Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amefanya mazungumzo na Balozi wa Ireland nchini Tanzania Bi Fionnuala Gilsenan na kumueleza hatua zinazochukuliwa na…

Soma Zaidi

WIZARA ya Ustawi wa Jamii M/V/W/Watoto inaifanyia kazi sera ya Taifa ya Hifadhi ya Jamii

WIZARA ya Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto imeeleza kuwa inaifanyia kazi Sera ya Taifa ya Hifadhi ya Jamii ili kutekeleza lengo la kuwapatia huduma wananchi wote wanaostahili…

Soma Zaidi

Uongozi wa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika imekutana na Rais wa Zanzibar

WIZARA ya Kazi, Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika imepongeza juhudi za maendeleo zinazochukuliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinudizi Dk. Ali Mohamed Shein huku ikieleza…

Soma Zaidi

Wizara ya Habari,Utamaduni,Utalii na Michezo imejipanga vizuri kuingia kwenye mfumo wa Dijital

WIZARA ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo imeeleza kuwa itahakikisha inaingia katika mfumo wa utangazaji wa Dijitali kwani maendeleo katika ujenzi wa miundombinu yake yanatia moyo na vifaa…

Soma Zaidi