Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wanachama wa Chama cha Mapinduzi kuchagua Viongozi madhubuti wenye uwezo wa kukivusha chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wanachama wa Chama cha Mapinduzi kuchagua Viongozi madhubuti wenye…

Soma Zaidi

RAIS wa Zanzibar na MBLM Dk. Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Jumuiya ya Istiqama Zanzibar kwa kuunga mkono juhudi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuwahudumia wananchi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Jumuiya ya Istiqama Zanzibar kwa kuunga mkono juhudi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuwahudumia…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amepongeza utayari wa Kampuni ya JHIL Enterprises kutoka India wa kujenga kituo cha Kimataifa cha michezo hapa Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ampongeza utayari wa Kampuni ya JHIL Enterprises kutoka India wa kujenga kituo cha Kimataifa cha michezo hapa Zanzibar.

Soma Zaidi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza matumizi ya mashine ya EFD katika ukusanyaji kodi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza matumizi ya mashine ya EFD katika ukusanyaji kodi, sambamba na kuwataka wananchi kudai Risiti wanapofanya…

Soma Zaidi