Dk. Hussein Ali Mwinyi ameutaka Uongozi wa Tume ya Maadili ya viongozi wa Umma kujiridhisha ili kubaini sababu za msingi za Viongozi 52 kushindwa kurejesha Fomu za Tamko la Rasilimali na madeni.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameutaka Uongozi wa Tume ya Maadili ya viongozi wa Umma kujiridhisha ili kubaini sababu za msingi za Viongozi 52 kushindwa…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ina azma ya kukiimarisha kikosi cha Zimamoto ili kukabiliana na athri kubwa zinazotokana na matukio ya moto katika Hoteli za Kitalii

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ina azma ya kukiimarisha kikosi cha Zimamoto ili kukabiliana na athri kubwa zinazotokana na matukio…

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametekeleza ahadi aliyowaahidi wananchi walioathirika na Kampuni ya Masterlife Microfinance Ltd.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi hatimae ile ahadi yake aliyowaahidi wananchi walioathirika na Kampuni ya Masterlife Microfinance Ltd iliyokuwa ikifanya…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Awamu ya nane imechukua juhudi za makusudi za kuimarisha Mamlaka ya kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Awamu ya nane imechukua juhudi za makusudi za kuimarisha Mamlaka ya kukuza Uwekezaji Zanzibar…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mzee Haji Mkombe Ame.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa salamu za rambirambi kwa familia ya marehemu Mzee Haji Mkombe Ame aliyefariki jana na kuzikwa leo huko kijijini…

Soma Zaidi

Alhaj Dk. Mwinyi amesema ugonjwa wa UVIKO-19 ulioikumba Dunia mbali ya kuathiri kiafya lakini umesababisha matatizo makubwa ya kiuchumi..

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema ugonjwa wa UVIKO-19 ulioikumba Dunia mbali ya kuathiri kiafya lakini umesababisha matatizo makubwa ya…

Soma Zaidi