News and Events

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameupongeza Mfuko wa Mawasiliano kwa wote kwa kuwekeza zaidi ya Shilingi Bilioni 6.9 kwa ajili ya ujenzi wa Minara ya Mawasiliano

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameupongeza Mfuko wa Mawasiliano kwa wote kwa kuwekeza zaidi ya Shilingi Bilioni 6.9 kwa ajili ya ujenzi wa Minara…

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaahidi wananchi wa kisiwa cha Tumbatu kwamba serikali itajenga hospitali yenye hadhi ya hospitali ya Wilaya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaahidi wananchi wa kisiwa cha Tumbatu kwamba serikali itajenga hospitali yenye hadhi ya hospitali ya Wilaya katika…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amempongeza Mwekezaji wa Hoteli ya RUI JAMBO kwa imani kubwa alionyesha na kufanikisha Uwekezaji wa   mradi mkubwa wa Hoteli ya Kitalii

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amempongeza Mwekezaji wa Hoteli ya RUI JAMBO kwa imani kubwa alionyesha na kufanikisha Uwekezaji wa mradi mkubwa wa…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiagiza Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kusitisha mkataba wa Kampuni ya MBH Hydrotech Co. Ltd inayojenga vyoo vya skuli za Mkoa wa Kaskazini Unguja

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiagiza Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kusitisha mkataba wa Kampuni ya MBH Hydrotech Co. Ltd inayojenga vyoo…

Soma Zaidi

Dk.Mwinyi ameiagiza Mamlaka ya Kuzuia Rushwa (ZAECA) kufanya uchunguzi ili kubaini namna Mkandarasi wa Kampuni ya Ujenzi ya Associated Investment Company Limitted alivyopata kazi ya ujenzi wa Skuli.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiagiza Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) kufanya uchunguzi ili kubaini namna Mkandarasi…

Soma Zaidi