News and Events

Dk.Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Baraza la Mji Kati kwa kutekeleza kwa vitendo maagizo aliyoyatoa katika ziara yake ya mwaka jana na kueleza jinsi ya Mkoa wa Kusini

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Baraza la Mji Kati kwa kutekeleza kwa vitendo maagizo aliyoyatoa katika ziara yake ya mwaka jana na kueleza…

Read More

Dk.Hussein Ali Mwinyi ameitaka Wizara ya Ardhi, Nishati na Madini kuanza Programu maalum ya kuhakikisha inatoa Hati miliki katika maeneo yote ya Serikali ili kuzuia uvamizi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameitaka Wizara ya Ardhi, Nishati na Madini kuanza Programu maalum ya kuhakikisha inatoa Hati miliki katika maeneo…

Read More

Dk.Hussein Ali Mwinyi ameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuipatia vyenzo zote zinazohitajika Skuli ya Sekondari Mtule ili wanafunzi waweze kupata elimu bora.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuipatia vyenzo zote zinazohitajika Skuli ya Sekondari Mtule ili wanafunzi…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba Serikali imeamua kuwajengea mazingira bora wajasiriamali ili waondokane na kuuza bidhaa zao pembezoni mwa barabara.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba Serikali imeamua kuwajengea mazingira bora wajasiriamali ili waondokane na kuuza bidhaa zao pembezoni…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameutaka Uongozi wa Wilaya na Mkoa Kaskazini Unguja kushirikiana na wananchi kupatiwa zana,vifaa elimu ili kufanikisha uchumi wa Buluu.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameutaka Uongozi wa Wilaya na Mkoa Kaskazini Unguja kushirikiana na kiuhakikisha wananchi wa Mkoa huo wanasaidiwa…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameupongeza Mfuko wa Mawasiliano kwa wote kwa kuwekeza zaidi ya Shilingi Bilioni 6.9 kwa ajili ya ujenzi wa Minara ya Mawasiliano

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameupongeza Mfuko wa Mawasiliano kwa wote kwa kuwekeza zaidi ya Shilingi Bilioni 6.9 kwa ajili ya ujenzi wa Minara…

Read More