News and Events

Rais Dkt. Mwinyi amesema mashindano ya Quraan yameiweka Tanzania kwenye ramani ya Kimataifa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Mashindano Makubwa ya Kimataifa ya Quraan Tukufu kwa mabara yote duniani yameendelea kuwa chachu…

Read More

Dkt.Mwinyi amewaalika Wawekezaji wa Ufaransa kuwekeza Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameyakari bisha makampuni na wawekezaji kutoka Jamhuri ya Ufaransa kuja kuwekeza Zanzibar, hususan katika…

Read More

Alhaj Dkt. Mwinyi ameendelea kuwahimiza waumini wa dini ya Kiislamu wenye uwezo kuwasaidia watu wasio na uwezo, hususan katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameendelea kuwahimiza waumini wa dini ya Kiislamu wenye uwezo kuwasaidia watu wasio na uwezo, hususan katika…

Read More

Rais Dkt.Mwinyi ameshiriki maziko ya Mama mzazi wa RC.Cassian Nyimbo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na viongozi, wanafamilia na wananchi mbalimbali katika maziko ya Marehemu Theodosia Sylvester Mapunda…

Read More