News and Events

Rais Dkt. Mwinyi amesema ana imani na uwezo wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amempongeza Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Ndg. Abdi…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi amesema uwanja wa Afcon Fumba kuwa chachu ya Fursa za kiuchumi Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Uwanja wa AFCON unaojengwa Fumba utakuwa uwanja wa kisasa wenye hadhi ya kimataifa na chachu ya kufungua…

Read More

Rais Dkt.Mwinyi: amesema SMZ itaendelea kuweka Mazingira rafiki kwa Sekta Binafsi katika Ujenzi wa Makaazi na Miradi ya Uwekezaji.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira rafiki kwa Sekta Binafsi kushiriki katika ujenzi wa makaazi bora…

Read More

Dkt.Mwinyi, amesema Serikali imeamua kuweka mfumo wa camera za usalama barabarani ili kudhibiti ongezeko la ajali zinazotokana na uvunjifu wa sheria za barabarani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali imeamua kuweka mfumo wa camera za usalama barabarani ili kudhibiti ongezeko la ajali zinazotokana…

Read More