News and Events

Rais Dkt.Mwinyi amesema huruma na uadilifu viwe kipaumbele katika mwenzi mtukufu wa Ramadhani.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewasisitiza waumini wa Dini ya Kiislamu na wananchi kwa ujumla kuhurumiana na kuwasaidia wasio na uwezo,…

Read More

Rais Dk. Mwinyi ameushukuru Mfuko wa AGA KHAN kwa Ushirikiano wake na Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Mwakilishi wa Kidiplomasia wa Mfuko wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN) Kanda ya Afrika Mashariki,…

Read More

Rais Mwinyi amesema Muungano uendelee kuwa chachu ya ukuwaji wa Uchumi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa ushirikiano uliopo kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Wizara ya Fedha ya Jamhuri ya…

Read More

Rais Mwinyi amepongeza wazo la Bunge kujenga Chuo Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Zanzibar inahitaji kuwa na vyuo vikuu zaidi vitakavyosaidia kuiweka Zanzibar katika ramani ya…

Read More