News and Events

Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameihimiza Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kuendelea kuwekeza katika teknolojia, usalama wa mifumo ya kifedha

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameihimiza Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kuendelea kuwekeza katika teknolojia, usalama wa mifumo ya kifedha,…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi amesema Taasisi za Kifedha za ndani ziimarishe ushirikiano na Serikali katika Miradi ya Maendeleo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema bado yapo maeneo mengi ya ushirikiano ambayo taasisi za kifedha za ndani zinaweza kushirikiana na…

Read More

Dk.Hussein Mwinyi amesema Matumizi ya Tehama katika Mfumo wa Utendaji wa Mahakama ni Eneo muhimu zaidi linalopaswa kupewa Kipaumbele ili kuharakisha Upatikanaji wa Haki na kuongeza Ufanisi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe ,Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Matumizi ya Tehama katika Mfumo wa Utendaji wa Mahakama ni Eneo muhimu zaidi linalopaswa kupewa Kipaumbele…

Read More