Habari

Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema suala la kuimarisha utawala bora ni jambo la msingi kuleta maendeleo ya nchi,

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema suala la kuimarisha utawala bora ni jambo la msingi kuleta maendeleo ya nchi, hivyo amewasihi watumishi…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Tume ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Maboresho ya Kodi,

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Tume ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Maboresho ya Kodi, Ikulu Zanzibar iliyofika kujitambulisha.Katika…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameeleza kuridhishwa kwa utoaji na usimamizi wa vipaumbele vyote kwa sekta za umma hasa kwa miradi ya kimkakati.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameeleza kuridhishwa kwa utoaji na usimamizi wa vipaumbele vyote kwa sekta za umma hasa kwa miradi ya kimkakati.Amesema…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewapongeza na kuwashukuru madaktari kutoka hospitali ya MIOT ya India kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kuwahudumia Wazanzibari

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amewapongeza na kuwashukuru madaktari kutoka hospitali ya MIOT ya India kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kuwahudumia…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiagiza timu kuu ya kitaalamu ya Dira ya Maendeleo ya 2050 kukutana na wadau mbalimbali kuhakikisha kazi ya kupokea maoni inakamilika kikamilifu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiagiza timu kuu ya kitaalamu ya Dira ya Maendeleo ya 2050 kukutana na wadau mbalimbali kuhakikisha kazi ya kupokea…

Soma Zaidi