Media

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewapongeza na kuwashukuru madaktari kutoka hospitali ya MIOT ya India kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kuwahudumia Wazanzibari

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amewapongeza na kuwashukuru madaktari kutoka hospitali ya MIOT ya India kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kuwahudumia…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiagiza timu kuu ya kitaalamu ya Dira ya Maendeleo ya 2050 kukutana na wadau mbalimbali kuhakikisha kazi ya kupokea maoni inakamilika kikamilifu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiagiza timu kuu ya kitaalamu ya Dira ya Maendeleo ya 2050 kukutana na wadau mbalimbali kuhakikisha kazi ya kupokea…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar inadhamiria kuwa na umeme wa uhakika kutokana na kutanuka kwa shughuli za uchumi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar inadhamiria kuwa na umeme wa uhakika kutokana na kutanuka kwa shughuli za uchumi, miradi mikubwa…

Read More

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imesema inakusudia kuifanya Zanzibar kuwa kituo kikubwa cha Utalii wa kisasa usio na misimu kwa kuwavutia wawekezaji na wageni wengi

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imesema inakusudia kuifanya Zanzibar kuwa kituo kikubwa cha Utalii wa kisasa usio na misimu kwa kuwavutia wawekezaji na wageni wengi.Imesema Zanzibar bado inawakaribisha…

Read More

MKE wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Mama Mariam Mwinyi ameizindua bodi na ofisi mpya ya taasisi anayoingoza ya “Zanzibar Maisha Bora Foundation” (ZMBF)

MKE wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Mama Mariam Mwinyi ameizindua bodi na ofisi mpya ya taasisi anayoingoza ya “Zanzibar Maisha Bora Foundation” (ZMBF).Uzinduzi wa bodi na ofisi hiyo umefanyika…

Read More