Media

Dk. Mwinyi ameishukuru Serikali ya India kwa kuendeleza ushirikiano na misaada yake kwa Zanzibar katika sekta mbalimbali za maendeleo, kijamii na kiuchumi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru India kwa kuendeleza ushirikiano na misaada yake kwa Zanzibar katika sekta mbalimbali za maendeleo,…

Read More

Serikali inakusudia kutoa Kibali cha Ajira Mpya katika Mwaka Mpya wa Fedha katika sekta ya Afya na Kada nyengine ili kukabiliana na Tatizo la Uhaba wa Wauguzi hapa Nchini.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inakusudia kutoa Kibali cha Ajira Mpya katika Mwaka Mpya wa Fedha katika sekta ya Afya na Kada nyengine…

Read More

Serikali itachukua hatua kuhakikisha watu waliolipwa fidia zisizostahiki katika maeneo yaliyopitishwa miradi ya maendeleo wanazirejesha fedha hizo Serikalini.

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itachukua hatua kuhakikisha watu waliolipwa fidia zisizostahiki…

Read More

Dkt. Mwinyi amesema SMZ kuongeza kasi ya Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaongeza kasi ya utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo…

Read More

Dkt.Mwinyi amesema CCM ipo tayari kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar.

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema mazungumzo ya kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa kati ya CCM na…

Read More