Media

Rais Dkt.Mwinyi amesema SMZ itaendelea kushirikiana na wadau kuimarisha sekta ya Afya nchini.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi na wadau mbalimbali wa sekta ya afya ili kuimarisha utoaji…

Read More

Mama Mariam Mwinyi amempokea Mke wa Rais wa Singapore na kujadili fursa za ushirikiano.

Mke wa Rais wa Zanzibar, Mwenyekiti na Msarifu wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation, Mama Mariam Mwinyi, amesema taasisi hiyo itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali katika kuimarisha…

Read More

Rais Dkt.Mwinyi amesema Zanzibar inafungua ukurasa mpya wa Ushirikiano na Singapore.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar inakusudia kufungua ukurasa mpya wa uhusiano na ushirikiano na Jamhuri ya Singapore, hususan…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi amesema SMZ kuendelea kuunga mkono juhudi za Chuo Kikuu cha Tanzinia.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuunga mkono juhudi za Chuo Kikuu Huria cha Tanzania…

Read More