Media

Rais Dkt. Mwinyi amesema Elimu na Ubunifu viwe chachu ya mabadiliko na Maendeleo ya Jamii

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewataka wahitimu wa Taasisi ya Teknolojia ya India Madras (IIT Madras) kutumia elimu, maarifa na ubunifu…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi amesema kuwawezesha Vijana n a kuimarisha Mifumo ya Afya ni njia bora ya kuenzi urithi wa Mzee Mkapa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Msarifu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Foundation, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema heshima kubwa inayoweza kutolewa…

Read More

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya Sweden kwa misaada yake ya maendeleo kwa Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya Sweden kwa misaada yake ya maendeleo kwa Zanzibar, pamoja na kueleza umuhimu wa kuimarisha…

Read More

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, (DITF) yamekuwa jukwaa muhimu la kubadilishana uzoefu, kujifunza teknolojia mpya.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, (DITF) maarufu kama Sabasaba, yamekuwa jukwaa…

Read More