Habari

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar inadhamiria kuwa na umeme wa uhakika kutokana na kutanuka kwa shughuli za uchumi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar inadhamiria kuwa na umeme wa uhakika kutokana na kutanuka kwa shughuli za uchumi, miradi mikubwa…

Soma Zaidi

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imesema inakusudia kuifanya Zanzibar kuwa kituo kikubwa cha Utalii wa kisasa usio na misimu kwa kuwavutia wawekezaji na wageni wengi

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imesema inakusudia kuifanya Zanzibar kuwa kituo kikubwa cha Utalii wa kisasa usio na misimu kwa kuwavutia wawekezaji na wageni wengi.Imesema Zanzibar bado inawakaribisha…

Soma Zaidi

MKE wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Mama Mariam Mwinyi ameizindua bodi na ofisi mpya ya taasisi anayoingoza ya “Zanzibar Maisha Bora Foundation” (ZMBF)

MKE wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Mama Mariam Mwinyi ameizindua bodi na ofisi mpya ya taasisi anayoingoza ya “Zanzibar Maisha Bora Foundation” (ZMBF).Uzinduzi wa bodi na ofisi hiyo umefanyika…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiagiza Mamlaka ya Mji Mkongwe kuifunika mitaro yote iliyowazi kwenye mji huo ili kuepusha maradhi na ajali kwa wananchi na wageni wanaoutembelea mji huo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiagiza Mamlaka ya Mji Mkongwe kuifunika mitaro yote iliyowazi kwenye mji huo ili kuepusha maradhi na ajali kwa…

Soma Zaidi

RAIS MWINYI AWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi amewaapisha Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya aliowateua hivi karibuni.Hafla hiyo ya Uapisho Imefanyika katika Viwanja…

Soma Zaidi

SMZ kuwafidia nyumba Bora wananchi watakaopisha Miradi ya Maendeleo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuanzia sasa Serikali itawafidia nyumba bora wananchi wanaotoa maeneo yao kupisha miradi ya maendeleo.Rais…

Soma Zaidi