Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kufanyika kwa Tamasha la Mashindano ya Kimataifa ya Marathon hapa nchini, kutaonyesha utayari wa Serikali katika kuvutia Wawekezaji

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kufanyika kwa Tamasha la Mashindano ya Kimataifa ya Marathon (Zanzibar International Marathon – ZIM ) hapa…

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar na MBLM Dk.Hussein Ali Mwinyi(katikati)akifuatanana Waziri wa Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(katikati)akifuatanana Waziri wa Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman (wa pili kulia)…

Soma Zaidi

Dk.Hussein Ali Mwinyi, amesema anatambua mchango wa Watumishi wa Umma katika utekelezaji wa majukumu ya Serikali ya kuwahudumia wananchi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema anatambua mchango wa Watumishi wa Umma katika utekelezaji wa majukumu ya Serikali ya kuwahudumia wananchi…

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar na MBLM Dk.Hussein Ali Mwinyi akitoa Hutuba yake kwa Viongozi wakati kilele cha Maadhimisho ya tatu ya Wiki ya Utumishi wa Umma Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akitoa Hutuba yake kwa Viongozi wakati kilele cha Maadhimisho ya tatu ya Wiki ya Utumishi wa Umma Zanzibar hafla iliyofanyika…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amehudhuria kikao cha Kamati Kuu (CCM) ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi.

KIKAO cha Kamati Kuu (CC) ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimefanyika leo kikiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais…

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar na MBLM Dk.Hussein Ali Mwinyi amehudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, kilichoendeshwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amehudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, kilichoendeshwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Soma Zaidi