Habari

Dk.Shein amefungua Jengo jipya la Biashara la “Michenzani Mall”,

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Serikali imejenga jengo la biashara la “Michenzani Mall” ili wananchi waingie katika utaratibu wa…

Soma Zaidi

Mafanikio yanayopatikana katika sekta ya Miundombinu ni kuyaenzi Mapinduzi matukufu ya Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa mafanikio yanayoendelea kupatikana katika sekta ya miundombinu ni kielelezo cha kuyaendeleza Mapinduzi…

Soma Zaidi
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiwahutubia Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja wakati wa mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar uliofan

MKUTANO WA CCM MAKUNDUCHI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema CCM ndio chama pekee chenye uwezo wa kuongoza Dola na hivyo amewataka wananchi na wanachama wa chama hicho…

Soma Zaidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kuashiria  Ufunguzi wa jengo la Abiria la (Terminal III) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar

UFUNGUZI WA JENGO LA TERMINAL III.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa na miundombinu bora ya kisasa ya usafiri ni nyenzo muhimu katika kuimarisha uchumi wa ndani ya nchi kupitia…

Soma Zaidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein  akizungumza na wanaCCM na wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba alipokuwa akimuombea kura Mgombea Urais Dk.Hussein Ali Mwinyi katika Mkutano wa

MKUTANO WA CCM GANDO.

MAKAMO Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewaletea kiongozi mchapakazi…

Soma Zaidi

RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN AMEWAPA ZAWADI WANAFUNZI BORA WA KIDATU CHA SITA NA CHA NNE ZANZIBAR.

SEIRIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar Awamu ya Saba iliamua kuifanya elimu kuwa ni moja ya vipaumbele vya Serikali kwa kuiongeza Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kutoka TZS Bilioni…

Soma Zaidi