Habari

Jamuhuri ya Watu wa China imepongezwa kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar.

JAMHURI ya Watu wa China imepongezwa kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha sekta za maendeleo hatua inayotokana na juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar…

Soma Zaidi

UFUNGUZI WA JENGO LA SHEIKH THABIT KOMBO.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein ametoa wito kwa sekta binafsi kuendelea kushirikiana na Serikali katika kukuza sekta ya biashara, ambayo hivi sasa…

Soma Zaidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono Wanafunzi wa Skuli mbali mbali za Zanzibar kama ishara ya kupokea Maandamano yaliyopita mbele yake katika Uwanja wa Mao-Dze Dong katika kilele cha maadhimisho ya

TAMASHA LA 56 LA ELIMU BILA YA MALIPO.

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar Awamu ya Saba katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wake imeendeleza dhamira ya kutangazwa kwa elimu bure na kuziendeleza jitihada zilizofanywa na uongozi…

Soma Zaidi

UFUNGUZI WA NYUMBA ZA MAKAAZI “ZSSF MBWENI REAL ESTATE”

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amewataka wanunuzi wa nyumba katika eneo la mradi wa nyumba za makazi Mbweni, kuheshimu sheria za ujenzi wa nyumba…

Soma Zaidi

MKUTANO WA CCM WILAYA YA KASKAZINI A.

WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na wananchi wote wametakiwa kuwapigia kura za ndio wagombea nafasi za uongozi katika chama hicho ili kiendelee kuyatunza Mapinduzi ya Januari 12,…

Soma Zaidi

UFUNGUZI WA JUKWAA LA 11 BIASHARA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeamua kwa makusudi kushirikiana na sekta binafsi kwani sekta hiyo…

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea eneo la Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha Mwani Chamanangwe Wilaya ya Wete Pemba

UZINDUZI WA ENEO LA VIWANDA CHAMANANGWE

SERIKALI ya Awamu ya Saba na ile ijayo imedhamiria kwa makusudi kuimarisha uchumi wa viwanda hapa nchini kwa kutenga eneo la viwanda pamoja na kuanzisha kiwanda cha Mwani huko Chamanangwe Mkoa…

Soma Zaidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  alipokuwa akimuapisha Nd.George Joseph Kazi kuwa Jaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar

DK.SHEIN AMEMUAPISHA JAJI WA MAHAKAMA KUU YA ZANZIBAR

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein leo amemuapisha George Joseph Kazi kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar.

Soma Zaidi