DK. SHEIN AMEFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMO WA RAIS, MUUNGANO NA MAZINGIRA.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amemuhakikishia kumpa mashirikiano makubwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Rais, Muungano na Mazingira Mussa Azzan…
Soma Zaidi